Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA), Joel Laurent (mwenye koti la kaki) akiwa amenyanyua kombe la ushindi wa kwanza kwa mchezo wa pool table mara baada ya kukabidhiwa na Mkurugenzi wa Huduma za Mamlaka, Victoria Elangwa (kushoto kwake) baada ya kukabidhiwa na uongozi wa Michezo wa Mamlaka baada ya kurejea kutoka Jijini Dodoma walikoshiriki michezo iliyoandaliwa na Shirikisho la Michezo ya Mashirika, Taasisi za Umma na Sekta Binafsi (SHIMMUTA) yaliyofanyika kuanzia tarehe 17 hadi 25 Novemba, 2023.