Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) akizungumza na wazalishaji wadogo/wa kati wa mbolea katika kikao kilichofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Mamlaka tarehe 5 Februari, 2025
Mkurugenzi wa Idara ya Uzalishaji wa Ndani na Ununuzi wa Mbolea kwa Pamoja wa TFRA, Louis Kasera akizungumza jambo wakati wa Kikao baina ya Mamlaka na wazalishaji wa mbolea wadogo na wa kati nchini tarehe 5 Februari, 2025
Meneja wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), Kanda ya Temeke, Abel Sembeka akitoa elimu ya Uhifadhi wa Mazingira kwa wazalishaji wa mbolea wadogo/kati katika kikao kilichofanyika tarehe 5 Februari, 2025 katika ukumbi wa TFRA Jijini Dar es Salaam
Mmiliki wa kiwanda cha Tanga Mining Co. LTD Rashit P. Latlseta akitoa maelezo kuhusu kiwanda chake wakati wa kikao baina ya Mamlaka na wazalishaji wa mbolea katika kikao kilichofanyika tarehe 5 Februari, 2025 Jijini Dar es Salaam